bani israel

IQNA

Bani Israeli
Qur'ani Tukufu inawatambulisha baadhi ya Mayahudi kama wapotoshaji wa maandiko ya kidini na kusema baadhi yao hata walikusudia kupotosha maneno ya Mtume (SAW) wanapomkabili.
Habari ID: 3479063    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/04

Sura za Qur'ani Tukufu /12
TEHRAN (IQNA) – Kisa cha Nabii Yusuf (AS) katika Qur’ani Tukufu kimejaa mengi kuhusu magumu ambayo aliyapitia kwa subira na imani na kufanikiwa kupata hadhi ya juu.
Habari ID: 3475421    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/24